1
2 Samweli 9:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Daudi akamwambia: “Usiogope. Mimi nitakutendea mema kwa ajili ya baba yako Yonatani. Nitakurudishia yale mashamba yote yaliyokuwa ya babu yako Saulo. Nawe, utakula kwenye meza yangu siku zote.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa 2 Samweli 9:7
2
2 Samweli 9:1
Siku moja, Daudi aliuliza: “Hakuna hata mutu mumoja aliyebakia katika jamaa ya Saulo? Kama yuko, ningependa kumutendea mema kwa ajili ya Yonatani.”
Nyochaa 2 Samweli 9:1