1
1 Samweli 20:42
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Halafu Yonatani akamwambia Daudi: “Uende na amani. Tumekwisha wote kuapa kwa jina la Yawe kwamba Yawe akuwe mushuhuda kati yetu milele, na kati ya wazao wangu na wazao wako milele.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa 1 Samweli 20:42
2
1 Samweli 20:17
Kwa mara ingine tena, Yonatani alimwambia Daudi aape kulingana na upendo wake kwake yeye Yonatani, maana alimupenda Daudi kama vile anavyojipenda yeye mwenyewe.
Nyochaa 1 Samweli 20:17