Mwanzo 37:6-7

Mwanzo 37:6-7 SCLDC10

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota: Niliota kuwa sote tulikuwa shambani tukifunga miganda na ghafla mganda wangu ukainuka na kusimama wima. Miganda yenu ikakusanyika kuuzunguka na kuuinamia mganda wangu.”

Rencana Bacaan dan Renungan gratis terkait dengan Mwanzo 37:6-7