Mwanzo 14:22-23

Mwanzo 14:22-23 SCLDC10

Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu, aliyeumba mbingu na dunia, kwamba sitachukua uzi au kamba ya kiatu, wala chochote kilicho chako, usije ukajivuna na kusema kwamba umenitajirisha.

Mwanzo 14 વાંચો

મફત વાંચન યોજનાઓ અને Mwanzo 14:22-23થી સંબંધિત મનન