YouVersion Logo
બાઇબલયોજનાઓવિડિઓઝ
Get the app
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Mathayo 1

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Compare

Mathayo 1:21 ખોજ કરો

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

Compare

Mathayo 1:23 ખોજ કરો

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

Compare

Mathayo 1:20 ખોજ કરો

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

Compare

Mathayo 1:18-19 ખોજ કરો

મફત વાંચન યોજનાઓ અને Mathayo 1થી સંબંધિત મનન

Next Chapter
YouVersion

Encouraging and challenging you to seek intimacy with God every day.

Ministry

વિષે

Careers

સ્વયંસેવક

બ્લોગ

દબાવો

Useful Links

સહાય કરો

દાન કરો

બાઇબલ આવૃત્તિઓ

ઑડિયો બાઇબલ

Bible Languages

આજનું વચન


A Digital Ministry of

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

ગોપનીયતા નીતિશરતો
Vulnerability Disclosure Program
ફેસબુકટ્વીટરઇન્સ્ટાગ્રામYouTubePinterest

હોમ

બાઇબલ

યોજનાઓ

વિડિઓઝ