YouVersioni logo
Search Icon

Mwanzo 25:32-33

Mwanzo 25:32-33 SWC02

Esau akasema: “Sawa! Niko karibu kufa. Haki yangu ya muzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia: “Uniapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzishia Yakobo haki yake ya muzaliwa wa kwanza.