YouVersioni logo
Search Icon

Mathayo 15:18-19

Mathayo 15:18-19 TKU

Lakini mambo mabaya ambayo watu wanasema kwa vinywa vyao hutokana na mawazo yao. Na hayo ndiyo yanayoweza kumtia mtu unajisi. Mambo mabaya haya yote huanzia akilini: mawazo maovu, mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, uongo, na matukano.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 15:18-19