1
Walawi 26:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu nanyi mutakuwa watu wangu.
Compare
Avasta Walawi 26:12
2
Walawi 26:4
nitawanyeshea mvua kwa wakati unaofaa, inchi ipate kuzaa mavuno kwa wingi, nayo miti ya mashamba matunda yake.
Avasta Walawi 26:4
3
Walawi 26:3
Kama mukifuata masharti yangu na kushika amri zangu
Avasta Walawi 26:3
4
Walawi 26:6
Nitawapa amani katika inchi hata muweze kulala bila kuogopeshwa na chochote. Nitaondoa nyama wakali katika inchi na inchi yenu haitapatwa na vita.
Avasta Walawi 26:6
5
Walawi 26:9
Nitawarehemu na kuwajalia mupate watoto wengi na kuongezeka. Nami nitaliimarisha agano langu nanyi.
Avasta Walawi 26:9
6
Walawi 26:13
Mimi ni Yawe, Mungu wenu, niliyewatoa katika inchi ya Misri kusudi musikuwe watumwa wa Wamisri. Mimi nimevunja nira muliyofungiwa katika shingo lenu na kuwafanya mutembee wima.
Avasta Walawi 26:13
7
Walawi 26:11
Nitaweka makao yangu kati yenu, wala sitawaachilia.
Avasta Walawi 26:11
8
Walawi 26:1
Musijitengenezee sanamu za miungu ya uongo, musishike sanamu zao za kuchongwa wala nguzo wala sanamu za mawe yaliyochongwa katika inchi yenu na kuviabudu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Avasta Walawi 26:1
9
Walawi 26:10
Wakati wa mavuno mutakuwa mungali munakula mazao ya zamani. Tena itawapasa kuondoa yaliyobaki kwa kupata nafasi ya kulinda mavuno mapya.
Avasta Walawi 26:10
10
Walawi 26:8
Watano wenu watafukuza waadui mia moja na mia moja wenu watafukuza waadui elfu kumi. Waadui zenu wataangamia mbele yenu kwa upanga.
Avasta Walawi 26:8
11
Walawi 26:5
Kupepeta ngano kutaendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu, na mavuno ya zabibu mpaka wakati wa kupanda mbegu. Mutakuwa na chakula tele na kuishi kwa usalama katika inchi yenu.
Avasta Walawi 26:5
12
Walawi 26:7
Mutafukuza waadui zenu na kuwaua kwa upanga.
Avasta Walawi 26:7
13
Walawi 26:2
Mushike Sabato zangu na kuheshimu Pahali pangu Patakatifu. Mimi ni Yawe.
Avasta Walawi 26:2
Home
Bible
Plans
Videod