1
Mwanzo 26:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ukae katika inchi hiyo, nami nitakuwa pamoja nawe na kukubariki. Nitatimiza ahadi niliyomupa baba yako Abrahamu, maana nitakupa wewe na wazao wako inchi hizi zote.
Compare
Avasta Mwanzo 26:3
2
Mwanzo 26:4-5
Nitawazidisha wazao wako wakuwe kama nyota za mbinguni na kuwapa inchi hizi zote. Kutokana na wazao wako, mataifa yote katika dunia yatabarikiwa, kwa sababu Abrahamu alinitii mimi, akashika maagizo yangu, amri zangu, masharti yangu na sheria zangu.”
Avasta Mwanzo 26:4-5
3
Mwanzo 26:22
Kisha Isaka akakwenda pahali pengine na kuchimba kisima kingine. Lakini hicho hawakukigombania. Hivyo Isaka akakiita “Nafasi Pana”, akisema: “Sasa Yawe ametuachia nafasi, nasi tutastawi katika inchi hii.”
Avasta Mwanzo 26:22
4
Mwanzo 26:2
Yawe akamutokea Isaka na kumwambia: “Usiende Misri, lakini ukae katika inchi nitakayokuambia.
Avasta Mwanzo 26:2
5
Mwanzo 26:25
Kwa hiyo, Isaka akajenga mazabahu kule na kumwabudu Yawe. Akapiga kambi kule, na watumishi wake wakachimba kisima.
Avasta Mwanzo 26:25
Home
Bible
Plans
Videod