1
Mwanzo 18:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yawe? Nitakurudilia wakati uliopangwa, kwa wakati kama huu katika mwaka, na Sara atakuwa na mutoto mwanaume.”
Compare
Avasta Mwanzo 18:14
2
Mwanzo 18:12
Kwa hiyo, Sara alicheka kimoyomoyo akisema: “Mimi ni muzee, na mume wangu vilevile. Basi, nikiwa muzee hivi, nitaweza kufurahi na kupata watoto?”
Avasta Mwanzo 18:12
3
Mwanzo 18:18
Yeye atakuwa baba wa taifa kubwa na kwa njia yake mataifa yote ya ulimwengu yatabarikiwa!
Avasta Mwanzo 18:18
4
Mwanzo 18:23-24
Basi, Abrahamu akamukaribia Yawe, akamwuliza: “Ni kweli utawaangamiza watu wa haki pamoja na waovu? Labda kuna watu wa haki makumi tano katika muji. Utauangamiza muji muzima kuliko kuuacha kwa sababu ya wale wa haki makumi tano wanaokuwa mule?
Avasta Mwanzo 18:23-24
5
Mwanzo 18:26
Yawe akamwambia: “Nikikuta watu wa haki makumi tano kule katika muji wa Sodoma, basi nitaacha muji wote salama kwa ajili yao.”
Avasta Mwanzo 18:26
Home
Bible
Plans
Videod