YouVersioni logo
PiibelPlaanidVideod
Laadi alla rakendus
Keele Valija
Otsingu Ikoon

Populaarsed piiblisalmid Mathayo 20

1

Mathayo 20:26-28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini isiwe hivyo miongoni mwenu. Kila anayetaka kuwa kiongozi wenu lazima awe mtumishi wenu. Kila anayetaka kuwa wa kwanza ni lazima awatumikie ninyi nyote kama mtumwa. Fanyeni kama nilivyofanya: Mwana wa Adamu hakuja ili atumikiwe na watu. Alikuja ili awatumikie wengine na kutoa maisha yake ili kuwaokoa watu wengi.”

Võrdle

Avasta Mathayo 20:26-28

2

Mathayo 20:16

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Hivyo walio wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza siku zinazokuja. Na walio wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho siku zinazokuja.”

Võrdle

Avasta Mathayo 20:16

3

Mathayo 20:34

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliwahurumia wale wasiyeona. Akayagusa macho yao, na mara hiyo hiyo wakaanza kuona. Wakawa wafuasi wa Yesu.

Võrdle

Avasta Mathayo 20:34

Tasuta lugemisplaanid ja palveraamatud seoses Mathayo 20

Eelmine peatükk
Järgmine peatükk
YouVersion

Julgustades ja väljakutseid esitades otsida iga päev lähedust Jumalaga.

Teenistus

Lehe kohta

Karjäärid

Vabatahtlik

Blogi

Vajuta

Kasulikud lingid

Abi

Annetage

Piibli versioonid

Audiopiiblid

Piibli keeled

Päeva kirjakoht


Digitaalne ministeerium

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivaatsuspoliitikaTingimused
Haavatavuste avaldamise programm
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest