Mwanamume Wa Kifalme

5 días
Katika historia yote, Mungu daima amewatafuta na kuwatumia wanaume kuendeleza ajenda ya Ufalme wake. Shetani anajua hili, ndiyo maana anataka kuwafungia na kuwahasi wanaume. Ulimwengu wetu unaendelea ukizorota kwa sababu wanaume hawapatikani popote. Ni wakati wa wanaume kusimama kidete. Katika mpango huu wa kusoma wa siku tano, Daktari Tony Evans atakupeleka kwenye safari ya kufanyika mwanamume ambaye Mungu alikuumba uwe.
Tungependa kuwashukuru The Urban Alternative (Tony Evans) kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://tonyevans.org/
Planes relacionados

La obsesión que destruye

La Biblia… Luz en Mi Camino

Jesús Al Centro: 6 Días Para Redescubrir Su Grandeza

Descubriendo Quiénes Somos: La Identidad en Cristo que Todo lo Cambia

Permanecer Cuando El Alma Quiere Rendirse

Mi Camino con Dios Parte 2

La Aventura de Seguir a Jesús

Devocional Agosto "Lámpara a Mis Pies"

La Vida Del Justo
