Logo de YouVersion
Ícono Búsqueda

Luka MT. 17:26-27

Luka MT. 17:26-27 SWZZB1921

Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa na katika siku za Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila, wakinywa, wakioa, wakiozwa, hatta siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, gbarika ikafika, ikawaangamiza wote.