Mwanzo 37:28

Mwanzo 37:28 NEN

Kwa hiyo wale wafanyabiashara Wamidiani walipofika pale, ndugu zake wakamtoa Yusufu kutoka lile shimo, na kumuuza kwa shekeli ishirini za fedha kwa wale Waishmaeli, ambao walimpeleka Misri.

Kostenlose Lesepläne und Andachten zum Thema Mwanzo 37:28