YouVersion Logo
Search Icon

1 Wakorintho 7:22-24

1 Wakorintho 7:22-24 BHN

Maana yeye aliyeitwa na Bwana akiwa mtumwa huyo huwa mtu huru wa Bwana. Hali kadhalika naye aliyeitwa akiwa mtu huru, huwa mtumwa wa Kristo. Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu. Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Wakorintho 7:22-24