YouVersion Logo
Search Icon

1 Wakorintho 7:19-21

1 Wakorintho 7:19-21 BHN

Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu. Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa. Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya kuwa huru, itumie.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Wakorintho 7:19-21